
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura za kumpata mgombea wa nafasi ya Urais
kupitia CCM kwenye ukumbi wa Dodoma Convention Center .

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akipiga kura za kumpata mgombea wa Urais wa CCM
kwenye ukumbi wa Dodoma Convention Center.

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akipiga kura ya kumpata mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM.

Wazee Maarufu

Wajumbe wakipiga kura

0 comments:
Post a Comment