TASWIRA YA KARIAKOO LEO KUELEKEA SIKUKUU YA IDD EL-FITRI

  Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta mahitaji kuelekea sikukuu ya kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
 Mzigo ukishushwa tayari kwa kuuzwa.
Msongamano wa magari  katikati ya kariakoo jijini Dar es Salaam.
Hapa ni maongezi ya biashara na kununua tuu.
Hapa ni hatari zaidi kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam maeneo ya mtaa wa Congo.

Msongamano wa magari Mtaa wa Sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Avila Kakingo na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii
Share on Google Plus

About Waziri W.Kindamba

WASIFU Mhitimu wa shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara na Shahada ya Benki, Uchumi na Sheria) mwenye ujuzi wa Teknohama na uwezo mkubwa wa kujenga uhusiano aliye tayari kukabaliana na changamoto na kuzitumia fursa zilizopo jimboni . Mwenye uwezo wa kufanya kazi mahali popote aliye na ufahamu wa hali ya juu wa masuala ya Benki, Uchumi, Benki na Sheria za Biashara, Fedha na Stadi za Maendeleo.
    Blogger Comment

0 comments: