Wasifu wa Mtia Nia
Waziri Waziri Kindamba
S.L.P. 16141
Dar es Salaam
Mobile: +255 (0) 686 210 421
+255 (0) 767 210 420
Tanzania.
Mobile: +255 (0) 686 210 421
+255 (0) 767 210 420
Tanzania.
Email:
drwazer@yahoo.com
WASIFU
Mhitimu wa shahada ya
Uzamili katika Uongozi wa Biashara na Shahada ya Benki,
Uchumi na Sheria) mwenye ujuzi wa Teknohama na uwezo mkubwa wa kujenga uhusiano
aliye tayari kukabaliana na changamoto na kuzitumia fursa zilizopo jimboni .
Mwenye uwezo wa kufanya kazi mahali popote aliye na ufahamu wa hali ya juu wa
masuala ya Benki, Uchumi, Benki na Sheria za Biashara, Fedha na Stadi za
Maendeleo.
ELIMU NA SIFA
Chuo Kikuu cha Sunderland – Uingereza
Shahada ya Uzamili ya
Utawala wa Biashara (MBA)
Chuo Kikuu cha London
Metropolitan – Uingereza
Shahada ya BA (Hons),
Benki, Uchumi na Sheria (Daraja la kwanza)
Chuo Kikuu cha Leicester-
Uingereza
Stashahada ya Stadi za Utawala
(Benki na Huduma za Fedha)
Sekondari ya Tambaza, Dar
es Salaam, Sekondari ya Azania, Dar es
Salaam, Tanzania
KAZI NA UZOEFU
Diamond Trust Bank (T) Ltd. (Dar es Salaam – Tanzania)
Meneja wa Tawi na Mjumbe
wa Timu ya Viongozi Waandamizi , Tawi la Morocco, Kinondoni, Dar es Salaam,
tangu mwaka 2011 mpaka sasa.
National Bank of Commerce (NBC), Dar es Salaam – Tanzania) Fraud-Risk Meneja
City Banking and Finance College (London) - Mhadhiri na Mkuu Msaidizi wa Taaluma
NAFASI NA USHIRIKI CCM
Mjumbe wa mkutano mkuu wa Wilaya ya Ilala-
Mwanachama muanzilishi wa CCM Tawi –London.
UZOEFU WA UONGOZI SHULENI;
Kaka Mkuu – Tambaza Shule ya Sekondari (2001-2002).
Katibu wa Fedha na Uchumi – Azania
Shule ya Sekondari (1997-1998).
Mwenyekiti wa Wanafunzi – Kundi
A (1996-1997).
0 comments:
Post a Comment